

"Katika maisha yangu ya soka hakuna aliyeweza kutuficha kiasi kile, hakika ni siku kuu kwao. "Walistahili kwasababu wanacheza jinsi inavyopaswa na wanaenjoy soka lao.
"They mesmerise you with their passing and we never really controlled Messi. When we got the lifeline of Wayne Rooney I expected us to do better in the second half but it wasn't to be. Kifupi ni kwamba hakuna aibu kupoteza mbele ya wakali wale.

"Messi ni mtu mmoja wa kipekee, Na mara zote naweka matumaini kwake kwani ni mtu asiyekata tamaa. Inapotokea akashindwa kucheza basi jua kwamba kuna kitu hakijakaa sawa katika mazingira yake yanayomzunguka. Let's hope he can continue playing well."


Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.