Ilikuwa ni asubuhi ya jumapili ya tarehe 8/05/2011 ndipo mwenzetu ndugu yetu, dada yetu, maarufu kwa kifupisho cha jina la 'JETU' alipotutoka, huu ni msiba, hakika umeacha simanzi kwa familia yako na marafiki kwani utakumbukwa kwa ushiriki wako katika shida na raha, ucheshi na uchangamfu kwa kila aliyekusogelea. Pumzika kwa amani.Kutoka kushoto ni Lucy Donard, John Katalambula, Francis Kaseko, Mrs. J.Katalambula, Modekai, Vailet Kaseko, Victor Kaseko, ...sis, Eva Kiyuga na Albert Sengo. Picha ya familia mara baada ya mazishi ya dada yetu 'JETU' yaliyofanyika jana tarehe 11/05/2011 katika makaburi ya Kitangiri, Bwiru jijini Mwanza.
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4
-
• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote
• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano
• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini
Na Mwa...
Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo
-
IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za
kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.