ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 12, 2011

KWAHERI DA-JETRUDA MACHIBYA.

Ilikuwa ni asubuhi ya jumapili ya tarehe 8/05/2011 ndipo mwenzetu ndugu yetu, dada yetu, maarufu kwa kifupisho cha jina la 'JETU' alipotutoka, huu ni msiba, hakika umeacha simanzi kwa familia yako na marafiki kwani utakumbukwa kwa ushiriki wako katika shida na raha, ucheshi na uchangamfu kwa kila aliyekusogelea. Pumzika kwa amani. Kutoka kushoto ni Lucy Donard, John Katalambula, Francis Kaseko, Mrs. J.Katalambula, Modekai, Vailet Kaseko, Victor Kaseko, ...sis, Eva Kiyuga na Albert Sengo.
Picha ya familia mara baada ya mazishi ya dada yetu 'JETU' yaliyofanyika jana tarehe 11/05/2011 katika makaburi ya Kitangiri, Bwiru jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.