Ilikuwa ni asubuhi ya jumapili ya tarehe 8/05/2011 ndipo mwenzetu ndugu yetu, dada yetu, maarufu kwa kifupisho cha jina la 'JETU' alipotutoka, huu ni msiba, hakika umeacha simanzi kwa familia yako na marafiki kwani utakumbukwa kwa ushiriki wako katika shida na raha, ucheshi na uchangamfu kwa kila aliyekusogelea. Pumzika kwa amani.Kutoka kushoto ni Lucy Donard, John Katalambula, Francis Kaseko, Mrs. J.Katalambula, Modekai, Vailet Kaseko, Victor Kaseko, ...sis, Eva Kiyuga na Albert Sengo. Picha ya familia mara baada ya mazishi ya dada yetu 'JETU' yaliyofanyika jana tarehe 11/05/2011 katika makaburi ya Kitangiri, Bwiru jijini Mwanza.
EARLY PAYOUT KUMWAGA MIHELA LEO
-
EARLY payout kwasasa ndio mchongo mpya ambao Meridianbet wamekuja nao
ambapo kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa usiku wa leo
itakuwez...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.