Pia mkuu huyo ametoa wito kwa wadau mbalimbali wa michezo, mashirika binafsi na wafanyabiashara wenye mapenzi mema kujitokeza kwa wingi kuisaidia timu hiyo ili ishiriki vyema kwenye mashindano hayo na hatimaye ipate ushindi.
Awali mashindano hayo soka ya Taifa Cup ndani ya TBL yalikuwa yakidhaminiwa na bia ya Safari Lager ambapo kampuni hiyo baadae katika maamuzi yake na sababu maalum iliamua kuhamisha udhamini wa michuano hiyo kwa bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.