
Maharusi hao walishangiliwa na maelfu ya watu waliojipanga barabarani kuelekea kasri ya Buckingham Palace ambako Malkia amewaandalia karamu wageni 650.



Baada ya kulishana viapo vya ndoa Askofu mkuu wa Canterbury, Rowan Williams, aliwanadi rasmi kuwa "mume na mke". Kuanzia sasa maharusi hawa watajulikana rasmi kama Duke na Duchess wa Cambridge.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.