"Tunataka mauaji yakomeshwe na haki itendeke kwa wavulana na wasichana waliopoteza maisha yao kwa kuchinjwa kinyama"
Filamu hii imehusisha zaidi watu ambao maelezo yao ni ushuhuda wa ujasiri na ukakamavu wa mwanadamu ambaye anatumika kupaza sauti na kufichua undani wa yale maovu yanayotendeka kwa ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.