
Nchini Uingereza inshu kubwa inayopamba vinywa vya watu, magazeti na vyombo mbalimbali vya habari ni maandalizi ya harusi ya Kifalme kati ya Kate na William itakayofanyika kesho Aprili 29, 2011.






Ili kuhakikisha kwamba kila jambo linakwenda kiuhakika zoezi linaendeshwa huku mkaguzi akichukuwa maelezo juu ya nini kibadilishwe kupitia kasoro zinazojitokeza na hata nini kiongezeke katika kuboresha nakuifanya harusi ya kiwango.

Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.