Ni jamaa aliyehusika na kushiriki kikamilifu kuhakikisha jiji la mwanza linakuwa na utamaduni wa usafi kaya kwa kaya, mtaa kwa mtaa, kitongoji kwa kitongoji hali iliyopelekea jiji kutunukiwa mfululizo TUZO mbalimbali za usafi kitaifa na kwa Afrika Mashariki.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.