Chuo kikuu kishiriki cha sayansi za afya Weill Bugando cha chuo kikuu cha mtakatifu Agustino Tanzania jumamosi ya tarehe 4Desemba2010 kinataraji kufanya maafali yake ya tatu kutunukisha stashahada na shahada.
Maafali hayo yatatanguliwa na kongamano la wafanyakazi na wanafunzi wote linalofanyika leo trh 1 Nyumbani hotel ambapo mada mbalimbali zitatolewa. Na tarehe 3 pambano la soka baina ya Wafanyakazi na Wanafunzi.
Tatizo la uhaba wa madaktari NCHINI limekuwa sugu kwa muda mrefu kutokana na wazazi wengi kutokuwa na uwezo wa kumudu gharama kubwa kuwasomesha vijana wao masomo hayo amabyo yanakadiriwa kufikia kiasi cha SHILLINGI MILLIONI 25 HADI 50 ILI KUWA DAKTARI KAMILI.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.