NA ALBERT G. SENGO/MISUNGWI
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza Michael Masanja Lushinge (SMART) amedhuru katika viwanja vya Misasi Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza kwa ajili ya uzinduzi wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 kiwilaya na kutumia nafasi hiyo kuwanadi mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, mgombea ubunge kupitia tiketi ya CCM jimbo la Misungwi Silvery Luboja Salvatory pamoja na madiwani wote wa kata 27 za jimbo la Misungwi.Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment