ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 11, 2024

MWANZO MWISHO SIMULIZI SABABU ZA KIFO HATIMAYE MAZISHI YA NASSIB MABROUK JIJINI MWANZA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Mamia ya mashabiki wa soka na waombolezaji wamejitokeza kwa wingi hii leo nyumbani kwa marehemu Nassibu Mabrouk, Kiseke wilayani Ilemela mkoani Mwanza, kwaajili ya sala hatimaye mazishi nayo kufanyika katika makaburi ya Kiseke B, wilayani humo. Nassibu Mabrouk aliyewahi kuhudumu kwa mafanikio kama Katibu wa Chama cha soka mkoa wa Mwanza (MZFA) alifariki dunia ghafla siku ya ijumaa akiacha maswali mengi kwa waliomfahamu. Juma Msaka ni mwenyeki wa mtaa alioishi marehemu Nassib Mabrouk anasimulia aliyoyajua hadi umauti ulipo mkuta.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.