ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 13, 2023

MWANZA YAPOKEA MWENGE WA UHURU KUKIMBIZWA KWENYE MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 21

 NA ALBERT G. SENGO/𝗨𝗞𝗘𝗥𝗘𝗪𝗘

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla amesema, Mwenge wa Uhuru mkoani hapa unatarajiwa kuweka mawe ya msingi kwenye miradi 17 yenye zaidi ya shilingi bilioni 13.7, kufungua miradi 9 ya zaidi ya shilingi bilioni 3.5, kuzindua miradi 15 yenye thamani ya shilingi bilioni 3.1 huku ukitarajiwa kutembelea miradi 10 iliyogharimu shilingi milioni 609.2 . Mwenge wa uhuru umepokelewa wilayani Ukerewe ukitokea mkoani Mara.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.