ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 15, 2023

MAELEZO ZAIDI UJENZI WA HOTELI YENYE HADHI YA NYOTA 5 JIJINI MWANZA

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

Jengo la Hoteli itakayokuwa na hadhi ya Nyota tano ambayo inaendelea kujengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF Mkoani Mwanza sasa kuendelezwa, likitarajiwa kukamilika mnamo mwezi Juni mwakani 2024. Baada ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ukaguzi wake katika ziara yake ya terehe 14 juni 2023 jijini hapa, Masha John Mshomba ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF anafunguka zaidi kuhusiana na uendelezwaji huo wa ujenzi ikiwa ni pamoja na mikakati iliyowekwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.