ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 20, 2023

WAANDISHI PWANI WAFUNDWA KUINGIA KATIKA UWEKEZAJI NA AJASILIAMALI ILI PAMBANA NA UMASIKINI.

VICTOR MASANGU,PWANI Waandishi wa habari wametakiwa kuwa wazalendo na kuhakikisha wanaweka misingi imara ya kuanzisha miradi mbali mbali kama lengo la kuweza kujikwamua kiuchumi ilikuondokana wimbi la umasikini. Kauli hiyo hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Pwani Ally Hengo wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari ambayo kimkoa yamefanyika wilayani Kibaha.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.