ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 18, 2023

JAMAA AVUNJIKA MOYO BAADA YA MPENZIWE ALIYEDHANIA KUWA NA MIMBA YAKE KUZAA MTOTO WA KIHINDI


Mwanamume mmoja Mkenya ameelezea uchungu wake baada ya mpenzi wake aliyedai kuwa na mimba yake kujifungua mtoto mwenye asili ya Kihindi.

Akisimulia masaibu yake kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, mwanamume huyo alikuwa amejawa na machungu  akisimulia jinsi mpenzi wake alimdanganya kuwa ana uja uzito wake

Alisikitika kuwa licha ya kuwa mpenzi alimyejali sana katika kipindi chote cha ujauzito wake na kukidhi mahitaji yake yote alimzalia mtoto mwenye asili ya Kihindi

Akisimulia masaibu yake kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, mwanamume huyo alikuwa amejawa na machungu.

alisema aliumia sana moyoni mpenziwe aliyedhania kabeba uja uzito wake alijifungua mtoto wa kiume wa Kihindi hospitalini dhahiri kwamba alikuwa akimdanganya.

Huku mmoja wa wafuasi wake kwenye Twitter akimuuliza iwapo katika familia yake kuna watu wenye asili ya Kihindi, alisema mpenzi wake alikuwa mhudumu katika mkahawa mmoja wa Kihindi na kumfanya afikiri kwamba ndipo alipomlaghai na kupata motto.

Alisikitika kuwa licha ya kuwa mpenzi alimyejali sana katika kipindi chote cha ujauzito wake na kukidhi mahitaji yake, baadaye aligundua kuwa mtoto huyo hakuwa wake.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.