ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, March 15, 2023

GODBLESS LEMA 'BODABODA WAKISTUKA WATAKUJA KUNISHUKURU'

 NA ALBERT GSENGO/MWANZA

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya kaskazini Godbless Lema kazingumza na mtangazaji Alice Stephen 'Queen Chichi' katika kipindi cha Kazi na Ngoma ya Jembe Fm na kurejea kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kuhusu bodaboda nchini. Pamoja na hayo amezungumzia pia utawala wa Serikali ya awamu ya sita unaoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ......

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.