ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 19, 2022

RC MALIMA ATAJA SABABU MIFUGO YA TANZANIA KUTOUZIKA NJE.

 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima amewataka wazalishaji wa bidhaa ikiwemo wazalisha wa nyama nchini kuacha kulalamika kwamba hakuna soko la nyama nje ya nchi badala yake wazingatie vigezo vya kimataifa vya uzalishaji wa bidhaa hiyo.

Malima ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akifungua Semina ya Kuhamasisha Masuala ya Ushidani na Udhibiti wa Bidhaa Bandia kwa wazalishaji mkoani Mwanza iliyoandaliwa na Tume ya Ushindani nchini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.