ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, August 22, 2022

ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA ZOEZI LA SENSA

 DC Ilemela, Waziri Mabula wafunguka.

Saa zinahesabika kufikia siku ya SENSA ya Tanzania 2022.

Siku nne kabla yaani Ijumaa ya tarehe 19 Agosti Mkuu wa wilaya ya Ilemela pamoja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula walikutana na wenyeviti wa kata mbalimbali za wilaya ya Ilemela nia ni kutia msisitizo wa mwisho na kukazia elimu ya SENSA iliyotolewa kwa vipindi tofauti.

#SENSA #mwanza #SENSABIKA










Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.