ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 25, 2022

JAPAN: MKUU WA POLISI AJIUZULU KUTOKANA NA KIFO CHA SHINZO ABE


Itaru Nakamura amesema ameamua kuwajibika juu ya dosari za Usalama ambazo uchunguzi ulionesha Jeshi halikumlinda ipasavyo Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe aliyeuawa Julai 8, 2022

-
Taarifa hiyo inakuja wakati ripoti ya Uchunguzi iliyotolewa leo ikionesha kulikuwa na udhaifu mkubwa ndani ya Jeshi la Polisi juu ya kupanga ulinzi katika eneo ambalo Abe alishambuliwa
-
Ingawa Nakamura hajasema ni lini ataondoka Ofisini, ombi la kujiuzulu kwake linatarajiwa kuidhinishwa katika mkutano wa Baraza la Mawaziri Agosti 26, 2022.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.