ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 7, 2022

NMB YAJA NA MWAROBAINI KWA WEZI WA FEDHA ZA WAFANYABIASHARA BUHONGWA.

 WAKAZI wa kata ya Buhongwa walilazimika kusafiri na fedha umbali mrefu hadi kuzifikia benki mbalimbali ambapo mara kadhaa walikutana na madhira ya uvamizi na kuporwa fedha zao na vibaka au wezi, lakini sasa wanayofursa kupata huduma za kifedha toka tawi lao jipya lililo funguliwa katani humo.

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Sauda Msemo akihutubia katika uzinduzi wa tawi la NMB Buhongwa jijini Mwanza.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi.
Meya wa jiji la Mwanza Sima Costantine.
Afisa Mkuu wa Wateja wadogo na Binafsi NMB Filbert Mponzi.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Buhongwa wakipoka moja ya mabati 262 kutoka NMB kwa ajili ya Shule yao, mbele ya Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Sauda Msemo (aliyefungu ushungi), wakati wa uzinduzi wa tawi la NMB Buhongwa jijini Mwanza.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Sauda Msemo (katikati) akikata utepe ili kuzindua tawi la NMB Buhongwa jijini Mwanza, wa tatu kutoka kulia ni Afisa Mkuu wa Wateja wadogo na Binafsi NMB Filbert Mponzi, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi (wa tatu kushoto),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula (wa pili kushoto),Meya wa jiji la Mwanza Sima Costantine (wa pili kulia) na Meneja wa NMB kanda ya Ziwa Baraka Ladslaus (kulia) wakishuhudia.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Sauda Msemo (katikati) akikata utepe ili kuzindua tawi la NMB Buhongwa jijini Mwanza, wa tatu kutoka kulia ni Afisa Mkuu wa Wateja wadogo na Binafsi NMB Filbert Mponzi, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi (wa tatu kushoto),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula (wa pili kushoto),Meya wa jiji la Mwanza Sima Costantine (wa pili kulia) na Meneja wa NMB kanda ya Ziwa Baraka Ladslaus wakishuhudia.
Picha ya pamoja wadau wa meza kuu na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Sauda Msemo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.