ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 14, 2022

MVUVI APOTEA ZIWANI WAWILI WAOKOLEWA MKEWE ANAKOROGA UJI ILI APATIKANE

 Taarifa mbaya kutoka Ziwa Victoria, zinamhusu mvuvi aliyejulikana kwa jina la Salehe Haruna (42) anatajwa kuzama maji katika eneo la Sweya wilayani Nyamagana mkoani Mwanza,

Mkewe Salehe aitwaye Helleno Misoji ameonekana kuweka kambi pembezoni mwa eneo la ufukweni mitumbwi inapotia nanga, akikoroga uji kwenye mafiga pasina kuwa na moto akilia na kuliita jina la mumewe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.