ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 11, 2022

MIGOGORO YA NDOA CHANZO KWA BAADHI YA MADEREVA KUSHINDWA KUSHIRIKI SENSA WAKIWA MAJUMBANI MWAO

LEO TARHE 11/06/2022 Mkuu wa Wlaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi amezindua Mkutano maalum wa maandalizi ya Sensa inayotarajia kufanyika kuanzia usiku wa Tarehe 23 mwezi wa 8 mwaka huu. Baada ya kusanyiko hilo kumalizika Jembe Fm imepata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya wawakilishi wa makundi mbalimbali katika jamii ambao walihudhuria kusanyiko hilo na kubaini haya.




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.