ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 5, 2022

BUGANDO YAJA NA MRADI WA KUZUIA UPOFU UNAOZUILIKA

 Yafanikisha kujenga kliniki ya macho itakayohudumia zaidi ya wagonjwa wa 400 wa macho kwa siku, ambapo awali ilikuwa inahudumia wagonjwa 150 tu kwa siku lakini kwa sasa baada ya miundombinu kuboreshwa itakuwa na uwezo wa kuhudumia wagonjwa 300 hadi 400 kwa siku.








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.