ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 24, 2022

ACHENI KUTUPA BANDEJI NA MIFUKO KWENYE VYOO VYA HOSPITALI YA BUGANDO MNASABABISHA HAYA

KUNA maji taka yanayofuka kama chemchem katika kiunga cha kipita shoto kidogo cha Nata , kinacho gawanya barabara ya Nyerere na barabara ya Wurzburg inayoelekea Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza, yakitapakaa barabarani na mengine kutitirika kwenye mitaro ya eneo hilo. Maji hayo machafu licha ya kuharibu hali ya hewa ya eneo hilo kwa kutoa harufu mbaya pia yanatajwa kuhatarisha afya za watumiaji wa barabara hizo kwamba huenda yakawa chanzo cha milipuko ya maradhi. Bila shaka mamlaka zinataarifa juu ya hili, lakini nini kauli yao?





 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.