ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 3, 2021

TWITTER YAONDOA KARIBU AKAUNTI 3,500 ZA PROPAGANDA ZINAZOUNGWA MKONO NA SERIKALI

Twitter inasema imeondoa akaunti 3,465 zinazofanya kazi kama "operesheni za habari zinazoungwa mkono na serikali" ambazo ilizihusisha na nchi sita: Uchina, Mexico, Urusi, Tanzania, Uganda na Venezuela.


Nchini Uganda, Twitter iliondoa mtandao wa akaunti 418 "zilizokuwa zikishiriki katika shughuli zisizo halali" za kumuunga mkono Rais Yoweri Museveni na chama chake, National Resistance Movement.


Takriban akaunti 270 pia zilifungwa nchini Tanzania baada ya kupatikana kuwasilisha ripoti za nia mbaya kwenye Twitter, zikiwalenga wanachama na wafuasi wa FichuaTanzania, kikundi cha kutetea haki za kiraia.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.