ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 24, 2021

MABEGI YALIYOTELEKEZWA KAMPALA YATOLEWA BAADA YA KUIBUA HOFU YA MABOMU.

 

Polisi nchini Uganda wameondoa mabegi yametelekezwa mtaani katika mji mkuu wa Kampala baada ya kusababisha hofu ya mabomu mjini humo. Tovuti ya habari ya eneo hilo imechapisha picha za operesheni ya polisi.


Wakazi wamekuwa katika hali ya tahadhari tangu mashambulio ya wiki iliyopita ya kujitoa muhanga yaliyoua watu wanne.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.