ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 7, 2020

POLISI WANNE WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA ZANA UVUVI HARAMU.


JESHI LA POLISI Mkoa wa Mwanza linawashikilia jumla ya watu 6 kwa makosa ya kupatikana na zana haramu za uvuvi, kupatikanana dawa za kulevya (MIRUNGI NA BHANGI), pia linawashikilia kwa uchunguzi askari wake wanne kwa ukiukwaji wa maadili ya kazi wakati wa ukamataji wa watuhumiwa hao. Akizungumza na wanahabari Kamanda wa Polisi Mwanza, Jumanne Muliro ametangaza kuwashikilia askari polisi hao kwa tuhuma za kukiuka kanuni za jeshi hilo za kukamata wahalifu. Jeshi la polisi linaendelea na mahojiano na watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani haraka iwezekenavyo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.