ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, February 26, 2020

WAFANYABIASHARA MWANZA WAOMBA HURUMA YA JPM



Zaidi ya Wafanyabiashara wadogo 100 maarufu kama machinga waliopo mtaa wa Rwagasore eneo la Kariakoo jijini Mwanza wamemuomba Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuingilia kati mgogoro uliopo baina yao na mtendaji wa kata ya Pamba kufuatia kutakiwa kuondoka katika eneo hilo ndani ya siku saba.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.