WAMILIKI wa Malori ya kubeba mafuta kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara, Kagera, Simiyu, Geita na mikoa jirani na Kanda ya Ziwa sasa hawato ingia gharama ya kuchoma mafuta kusafirisha maroli yao hadi jijini dar es salaam kwaajili ya kupata huduma ya upimaji na uhakiki matenki yao kila mwaka mara baada ya Serikali kusimika kituo cha kisasa cha upimaji katika eneo .la Nyamhongolo wilayani Nyamagana jijini Mwanza.Hiki ni kituo cha pili cha upimaji matenki ya magari ya kubebea mafuta nchini kikitanguliwa na kile cha jijini Dar es salaam.Meneja wa wakala wa vipimo mkoani Mwanza Arobogast Kajungu anasema malengo ya Serikali katika kuwahudumia wafanyabiashara wa mafuta Kanda ya Ziwa yametimia.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.