ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 12, 2019

WAISLAMU MKOA WA MWANZA WAUNGANA NA SHEIKH MKUU VITA DHIDI YA MUZIKI MOTO


BAADA ya Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi kutangaza kupiga marufuku dufu na kaswida maarufu kama ”mziki moto” akizitaja kuwa, zinaaibisha na kuchafua sura ya Uislamu huku zikitoka nje ya utamaduni na maadili ya dini tukufu ya Kiislamu. Mkoani Mwanza Sheikh wa Mkoa huo, Hassan Kabeke naye ameapa kupambana na hilo ili kuhakikisha maadili ya Uislamu yanalindwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.