ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 20, 2019

KITUO CHA AFYA BWISYA UKEREWE SASA KUFIKIRIWA KUWA HOSPITALI.


Hii ni ziara ya kwanza ya kufanywa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kisiwa cha Ukara Wilayani Ukerewe Mkoani Mwanza. Ambapo awali baada ya Makamu wa Rais kuhani eneo la makaburi ilimolala miili ya baadhi marehemu kati ya mamia waliofariki kwenye ajali ya Meli ya MV Nyerere iliyotokea Septemba 19 mwaka 2018, na kuweka shada la maua pia aliweka Jiwe la Uzinduzi wa Majengo mapya ya Kituo cha Afya Bwisya Ukara.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.