ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 30, 2019

6 WAFARIKI KATIKA AJALI DODOMA.


Watu sita wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Coaster na lori eneo la Kisasa jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Desemba 30, 2019.

Mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya Dodoma Dk, Ernest Ibenzi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Wakati huo huo naye Kamanda wa Polisi Dodoma, Gilles Muroto amesema watu wengine 12 wamejeruhiwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.