ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 6, 2019

MAOFISA WA TIMU YA MKOA WA MWANZA WACHARAZWA VIBOKO NA MA-SHEIKH WA BAKWATA 2-1



Ulikuwa ni mchezo wa kulipa kisasi baada ya kunyanyaswa sana kwa kufungwa michezo miwili iliyopita lakini safari hii timu ya Ma-Sheikh wa Bakwata mkoa wa Mwanza wameikalisha chini timu ya Maofisa wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza kwa kuilaza bao 2-1 katika mchezo wa kirafiki uliokuwa umejaa kila aina ya mbwembwe na vibweka toka pande zote mbili. 
Kikosi cha Maofisa wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza.
 Kikosi cha Ma-Sheikh wa Bakwata mkoa wa Mwanza.
 Golikipa wa zamani wa timu ya Soka ya Pamba Sc ya jijini Mwanza na Yanga ya jijini Dar es salaam, Juma Mhina (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza iliyoongozwa na nahodha wake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella (wanne kutoka kulia).
 Timu zote mbili kabla ya mchezo dimba la Nyamagana jijini Mwanza.
 Mongella.
 Kadio.
 Mapumziko.
Michezo ni Afya.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.