ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, November 18, 2019

BREAKING NEWS; SERIKALI YALIPIGA STOP KANISA LA 'MFALME ZUMARIDI'


Serikali kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya Nyamagana LEO Novemba 18, 2019 imesitisha shughuli za ibada nyumbani na katika Kanisa la Mfalme Zumaridi lililopo jijini Mwanza kutokana na kuendeshwa kinyume na taratibu. Uamuzi huo umetangazwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi.


Aidha Dr. Nyimbi amemuomba msajili wa vyama vya kijamii wizara ya mambo ya ndani ya nchi kujiridhisha na utendaji wa Kanisa la Pentekoste Tanzania (PCCT) kama unazingatia katiba yake iliyosajiliwa mwaka 1997.








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.