ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 22, 2019

MAGOLI | YANGA SC 3-2 JKT TANZANIA (VPL - 22/11/2019)


Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wamechukua pointi tatu nyingine msimu huu kwa kuifunga JKT Tanzania mabao 3-2, mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Patrick Sibomana dakika ya 11, Juma Balinya dakika ya 22 na David Molinga dakika ya 35 huku mabao ya JKT yakifungwa na Adam Adam dakika ya 13 na Danny Lyanga dakika ya 45.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.