ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 26, 2019

PING YAPANIA KUBORESHA UCHUMI WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRI NCHINI SASA YATINGA RASMI MWANZA


Madereva wa Tax, Bodaboda na Bajaji toka mkoani Mwanza hii ni fursa yao tena kutumia vyombo vyao vya usafiri kupata kipato zaidi, ni kupitia kujiunga na mpango wa usafiri na usafirishaji wa PING. 

Pia wito umetolewa kwa madereva wanawake kuichangamkia fursa hiyo adimu iliyo salama kwa mmiliki wa chombo pamoja na abiria.
Mkurugenzi wa Ping Tanzania Nasoro Halfani Nasoro akizungumza na mamia ya madereva wa Tax, Bodaboda na Bajaji mkoani Mwanza katika mkutano wa uelimishaji ambao pia ulihusika kupokea changamoto za wadau hao wa usafiri.
Kwa umakini ndani ya kusanyiko.
Uelimishaji ukiendelea.
Meza kuu.
Mkurugenzi wa Ping Tanzania Nasoro Halfani Nasoro akifafanua jambo mbele ya mamia ya madereva wa Tax, Bodaboda na Bajaji mkoani Mwanza (pichani chini) katika mkutano wa uelimishaji ambao pa ulihusika kupokea changamoto za wadau hao wa usafiri.
Kwa umakini hatua kwa hatua.
Sehemu ya madereva wa Tax, Bodaboda na Bajaji mkoani Mwanza waliojitokeza katika mkutano wa uelimishaji ambao ulihusika kutoa elimu na kupokea changamoto za wadau hao wa usafiri.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.