ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 27, 2019

MASHABIKI MWANZA WALIA NA KOCHA ZAHERA + MONGELLA ASEMA USHINDI UPO MISRI


Ushindi wa mabao 2-1 walioupata Pyramida FC katika dimba la CCM Kirumba dhidi ya wapinzani wao Yanga umeongeza mzigo mzito kwa wana Jangwani katika jitihada zao za kusonga mbele kwenye Michuano ya Kimataifa kwani sasa wawakilishi hao wa Tanzania watalazimika kushinda bao 2-0 pindi watakapokwenda ugenini wiki mbili zijazo kucheza mchezo wa marudiano.

Licha ya mashabiki wa nyumbani kushusha lawama kwa benchi la ufundi la timu hiyo, Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella bado ana matumaini na wawakilishi hao wa Tanzania akisema kuwa Yanga wana uwezo wa kupindua meza Misri.





Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.