ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, September 18, 2019

MWENYEKITI WA HALMASHAURI WILAYA YA TARIME AGONGA HODI TAMISEMI


Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime mkoani Mara Moses Misiwa amehoji suala la Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019-2020 iliyotolewa na Tamisemi kwa nini imetoa fedha nyingi kwa uendeshaji wa halmashauri kuliko fedha za maendeleo kwa wananchi kama ilivyokuwa miaka kabla tokea uchaguzi wa 2015.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.