ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, September 4, 2019

KCB YAINGIA MKATABA WA MWAKA MMOJA NA TFF KUIDHAMINI LIGI KUU.


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya KCB leo Septemba 4,2019 wameingia Mkataba wa Mwaka mmoja wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo unathamani ya shilingi Milioni 495 pamoja na VAT.

Udhamini huo unakuja baada ya Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom kusaini Mkataba wa miaka mitatu ya  Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo unathamani ya shilingi bilioni 9 ambapo kila mwaka shilingi bilioni 3.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.