ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 20, 2019

AHADI YA RAIS MAGUFULI UJENZI WA JENGO LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE MWANZA SASA RASMI YAANZA KUFANYIWA


Utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  aliyotoa mnamo tarehe 15 ya Mwezi July 2019, kuiagiza Halmashauri ya Jiji la Mwanza kutoa Sh2.2 bilioni na Manispaa ya Ilemela itoe Sh1.8 bilioni na kufanya jumla Sh4 bilioni kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa jengo la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza, hatimaye agizo hilo limeanza kutekelezwa, kwani maandalizi ya awali kuelekea ujenzi wa jengo hilo umeanza mapema hii leo. 

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella ametembelea eneo lililotengwa kwaajili ya  ujenzi wa jengo hilo la abiria kujiridhisha kwamba kazi imeanza au laa.

Jiunge nasi kushuhudia yaliyojiri.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.