ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 2, 2019

NAMNA UNAVYOWEZA KUPOTEZA SIFA ZA KUINGIZWA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA



 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo Agosti 02, 2019 imekutana na wadau wa uchaguzi mkoani Mwanza wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa, dini, asasi za kiraia, makundi ya watu wenye ulemavu, vijana, wanawake na wanahabari ili kupeana elimu kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ikiwa ni maandalizi kuelekea chaguzi zijazo. 

jEH wazijua sababu zinazoweza kukuondosha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura?

Nini lengo la kusanyiko hilo hapa jijini Mwanza? Huyu hapa Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mbarouk Salim Mbarouk akifunguka zaidi, ambapo pia Mkurugenzi wa Idara ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Martin Mnyanyelwa anashiriki kuzibainisha sifa zinazo mwondoa mtu kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.