ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, August 25, 2019

KAMPUNI YA PUMA YATOA ZAWADI KWA SHULE NA WANAFUNZI WALIOSHINDA MASHINDANO YA UCHORAJI WA MICHORO YA ELIMU YA USALAMA BARABARANI VISIWANI ZANZIBAR

Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, ambae  pia  ni  Mwenyekiti wa  Taifa  wa Baraza  la  Usalama  Barabarani  Nchini, Mhandisi  Hamad Masauni (katikati), Mkurugenzi Mtendaji  wa  Kampuni  ya  Mafuta  ya Puma, Dominic  Dhanah (watatu  kushoto)  na Mrajisi  wa  Jumuiya  sisizo za  Kiserikali  Zanzibar, Ahmed  Khalid  Abdullah (watatu kulia) wakikabidhi  mfano  wa  Hundi  ya  Shilingi  Milioni  Nne  kwa  Uongozi  wa Shule  ya Msingi  Mkunazini  baada  ya  mwanafunzi Raya Zubeir Hemed(kulia), kuibuka  mshindi wa  kwanza  kwenye  Shindano  la  Uchoraji  wa  Michoro  ya  Elimu  ya Usalama Barabarani  kwenye  hafla  iliyofanyika  Visiwani  Zanzibar.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, ambae  pia  ni  Mwenyekiti wa  Taifa  wa Baraza  la  Usalama  Barabarani  Nchini, Mhandisi  Hamad Masauni, akimpa zawadi mwanafunzi wa Shule  ya Msingi Mkunazini, Saidat Jumbe zawadi baada ya kujibu swali lililohusiana na Kanuni za Uvukaji wa Barabara ili kuepuka ajali.Hafla hiyo  iliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma ya kukabidhi zawadi  kwa washindi wa Shindano  la  Uchoraji wa  Michoro  ya  Elimu  ya Usalama  Barabarani  iliyofanyika  Visiwani  Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, ambae  pia  ni  Mwenyekiti wa  Taifa  wa Baraza  la  Usalama  Barabarani  Nchini, Mhandisi  Hamad Masauni, akimkabidhi kikombe mshindi wa kwanza  wa Shindano  la  Uchoraji  wa  Michoro  ya  Elimu  ya Usalama Barabarani  mwanafunzi wa Shuke ya Msingi Mkunazini Rayah Zubeir Hemed.Kulia  ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta ya  Puma,Dominic Dhanah.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta ya  Puma,Dominic Dhanah, akimkabidhi zawadi Mshindi wa Pili Salum Ali Khatib baada ya kushika nafasi hiyo katika  Shindano  la Uchoraji  wa  Michoro  ya  Elimu  ya Usalama  Barabarani  lililodhaminiwa na kampuni hiyo.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Mrajisi wa  Jumuiya  sisizo za  Kiserikali  Zanzibar, Ahmed  Khalid  Abdullah akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa Shule ya Msingi Kisiwandui,Salma Ali Seif baada ya kujibu swali lililohusiana na usalama barabarani, wakati wa Hafla iliyofanyika Visiwani Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.