ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, July 24, 2019

MAUAJI UKEREWE KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA WA MWANZA YATINGA KISIWA CHA SIZA.



Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella akiwa ameambatana Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa, Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Cornel Magembe na kamati yake ya Usalama, Maafisa wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, wote wametia kambi hapa katika  kisiwa cha Siza, kata ya Ilangala wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, ambapo watu wanne akiwemo Afisa mfawidhi wa rasilimali za uvuvi Kanda ya ukerewe aliyekuwa kiongozi wa kikosi chenye jukumu la kudhibiti na kutokomeza biashara haramu ya mazao ya uvuvi katika Ziwa Victoria wameuawa baada ya kushambuliwa na wananchi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.