ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 16, 2019

"HUU NI MRADI MMOJA LAKINI MAENEO MENGINE YANAGUSWA VIPI?" : RC MONGELLA MBELE YA RAIS MAGUFULI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella akiwasilisha maendeleo ya mkoa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Jumatatu Julai 15, 2019 wakati wa uzinduzi wa miradi saba inayohusiana na huduma za tiba yenye thamani ya shilingi Bilioni 10.6 za kitanzania katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa Bugando.

"Nayasema haya Mhe Rais kwakuwa watu wanaweza kujikita Bugando tu!, tukasahau maeneo mengine yameguswa vipi" John Mongella.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.