ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 30, 2019

ANGELINE MABULA: WANANCHI WA KATA YA BUGOGWA SHIDA YA MAJI KUWA HISTORIA


Mara baada ya Mbuge wa Jimbo la Ilemela Dkt. Angeline Mabula kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi CCM Jimbo la Ilemela, shughuli iliyofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally, ikawa sasa fursa kwa mtangazaji wa Jembe Fm Mwanza Harith Jaha kuzungumza mawili matatu na mbunge huyo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Tanzania. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.