ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 26, 2019

VIDEO: SERIKALI YATOA MSIMAMO KAULI YA MBUNGE WA KENYA


Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesimama Bungeni na kutoa msimamo wa serikali juu ya kauli iliyotolewa na Mbunge wa Starehe, Jaguar, ya kuwataka watanzania wanaofanya biashara nchini Kenya, kuondoka haraka la sivyo watawapiga mawe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.