ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 26, 2019

"KWIMBA TATIZO LENU NI NINI?"



Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella mwishoni mwa wiki amezungumza na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kwimba na kubaini mengi madhaifu ambayo licha ya kwamba kila kuchwao afanyapo ziara wilayani humo amekuwa akikumbana nayo lakini mapungufu hayo yamekuwa yakijirudia, huku tatizo moja likizaa tatizo jingine jipya.

Kutokana na usugu huo amewataka wajiulize swali  'KWIMBA TATIZO LETU NINI' 








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.