ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 28, 2019

BONDE LAGEUZWA KUWA PANGO LA WABAKAJI NA VITENDO VYA ULAWITI WANAFUNZI WILAYANI KASULU.


KATIKA harakati zake za kuikwamua jamii toka katika lindi la umasikini unaosababishwa na vitendo vya ukatili, Shirika la KIVULINI limeendesha mdahalo wa majadiliano kuhusu namna ya kuzuia, kupunguza na kuondosha kabisa vitendo vya ukatili wilayani Kasulu huku ikibaini mapungufu makubwa yanayo sababishwa na baadhi ya viongozi wenye dhamana nayo jamii ikilaumiwa kushindwa kusimamia vyema majukumu yake.

“mtoto wa mwaka mmoja alawitiwa”

 Shirika la kutetea haki za wasichana na wanawake KIVULINI jana Juni 25, 2019 limeendesha mdahalo wa wazi katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma, ukilenga kutoa elimu kwa jamii kupinga hadharani aina zote za ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanawake.
Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI, Yassin Ally (kulia) akifurahia na kumtuza mmoja wa wasanii waliokuwa wakitumbuiza kwenye mdahalo huo.
 Sehemu ya wananchi waliojitokeza kupata elimu kwenye mdahalo huo.
 Ujumbe.
 Ujumbe 2.
 Burudani.
 Wanaharakati wakitanabaisha majukumu yao.
 Chapa Kazi sio mkeo.
Afisa wa Dawati la Jinsia la Polisi wilayani Kasulu, Maimuna Abdul akitoa akizungumzia matukio ya ukatili wa kijinsia wilayani humo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.