ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 4, 2019

KISIWA KILICHOKUMBWA NA TUKIO LA AJALI YA MV NYERERE CHAANGUKIWA NA NEEMA HII


WAKAZI wa Bwisya wilayani Ukerewe mkoani Mwanza wamemshukuru rais JOHN MAGUFULI kwa kuboresha kituo cha afya BWISYA kilichopo katika kisiwa cha UKARA wilayani UKEREWE mkoani MWANZA.

Wakazi hao hao wametoa shukrani hizo wakati wa ziara ya kikazi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza JOHN MONGELA amabaye ametembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani UKEREWE.

 Zikijadiliwa changamoto zilizomo kwenye mradi, ni ana kwa ana, hapa ni maswali na majibu mbele ya mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, injinia wa mradi (mwenye shati jeupe) pamoja na Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Boniphace Maghembe (kushoto) na Mkurugenzi wa wilaya hiyo Bi. Ester Chaula.
 Mazingira ya mmoja kati ya ward zilizojengwa.
 Hatua kwa hatua.
 Jengo moja wapo kwaajili ya huduma za afya.
 Moja kati ya majengo yaliyojengwa kwenye kituo hiki cha Afya Bwisya.
 Tanki kubwa la maji limejengwa hapa.
 Jengo la Mochari..


Hivi ndivyo sehemu tu ya mazingira kwa kituo cha afya Bwisya kinavyoonekana kwa sasa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.