ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, May 5, 2019

BARCELONA YAPATA PIGO...KUELEKEA MCHEZO LIGI YA MABINGWA




Klabu ya Barcelona ipo kwenye wasiwasi wa kuweza kumtumia mshambuliaji wake Ousmane Dembele baada ya kuumia katika mchezo wa La Liga dhidi ya Celta Vigo.

Katika mchezo huo Celta Vigo imeweza kuitandika Barcelona mabao 2-0 kwa magoli ya Maxi Gomez na Iago Aspas.

Kumkosa Dembele ni pigo kwa Barcelona katika kuelekea mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Liverpool.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.