ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, May 6, 2019

MWILI WA MENGI WAWASILI NCHINI, MAELFU WAJITOKEZA KUMPOKEA



Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi umewasili katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Julius Nyerere Dar es salaam kutoka Dubai ambapo alifikwa na umauti Jumatano iliyopita.
Mwanasheria wa familia, Michael Ngalo amesema mwili wa mfanyabiashara huyo maarufu nchini Tanzania utahifadhiwa katika hospitali ya jeshi ya Lugalo baada ya kuwasili.
Siku ya Jumanne, marehemu ataagwa katika viwanja vya Karimjee.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.